Kupitia Mradi wa ULGSP, Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amezungumza Juu ya Mabadiliko nayozidi Kuyafanya kama Ofisi ya Rais TAMISEMI, Kwenye uboreshaji wa Miundombinu, Pia amesema walianza na Jiji la DSM Lupita Mari wa DMDP, na sasa wako kenye mradi wa ULGSP kenye Halmashauri 18