'Wewe fuga paka na mbwa na mimi nafuga Komba', unaweza kusema hayo ndiyo maneno ya mzee Abubakari Mohammed wa kisiwani Unguja ambaye amejizolea umaarufu kwa kufuga Komba.
Hii ni jamii ya wanyama wa mwituni wanafanana kidogo na nguchiro.
Wewe unafuga mnyama gani?