Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 21 may 2020 ana waapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni , wanao apishwa ni
1. Dr. Godwin Oloyce Mollel kua Naibu waziri wa wizara ya Afya
2.Dr. Delphine Diocles Mgere kuwa katibu tawala mkoa wa pwani
3.Dr. Jacob Gideon Kingu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Algeria
4.Balozi mteule Phaustin Martin Kasike kuwa balozi wa Tanzania nchini msumbiji
5. Balozi mteule John Stephen Simbachawene kuwa balozi wa Tanzania nchini Kenya
6.Brig. John Julius Mbungo kuwa Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya kupamabana na rushwa TAKUKURU.
Hafla hii inafanyika ikulu ya Chamwino Dodoma
Category
Show more
Comments - 545
@
@ausmsuya33354 years agoThanks sana mr president may almighty god guide you, give you healthy and safety. indeed almighty god is with us stay safe please for our success. 17
@
@partohmsee59924 years agoGod bless your jpm! Your bright leader and uhuru should copy you and allow kenyans hustle while keeping social distance and adhering to safe measures. 13
@
@partohmsee59924 years agoNani alisema mkenya awezi pata like kwaakubariki milele daima jpm. 67
@
@bercahot1524 years agoWe must believe in this blood! appreciated. 11
@
@amazingvideomixtv42324 years agoUyu ndio rais wetu apa akuna cha nani wala nan gonga like twende sawa. 51
@
@rajabukhalfan30264 years agoWe will always appreciate our lovely president jpm he is a hero who believes in what he do and if possible he would lead our country for the rest of his. ...Expand21
@
@kofiakon20204 years agoIf every president in ghana can learn this from this video we can just move forward with light of building our country without limitation. this he has come to serve his nation and continent without restriction or selfish interest. ...Expand30
@
@faizabbas26904 years agoRaisi magufuli tunakuomba ukuwe raisi wetu wa kenya. mm n mkenya lakini magufuli nataka akuwe raisi wetu wa kenya. Naomba likes zenu watanzania. 154
@
@f.a60434 years agoYes in god we trust! god bless you dr. Jpm. 4
@
@omarshariff82664 years agoMimi mkenya lakini wenzangu watanzania nawasihi huyu rais wenu mpeni heshima yake na muithamini sana hii ni bahati yenu musiidharau mukaja jijutia. 84
@
@khamismole36794 years agoIf this government could be in kenya surely we could live a peacefully life. 15
@
@raphaellyela42174 years agoAgain, my president on time, a man on season. 11
@
@dicksonrigha75884 years agoMimi ni mkenya, ila kwa kweli makufuli ni mwanaume ni kiongozi wa kuigwa, praying for you sir. 52
@
@partohmsee59924 years agoLive long jpm and be blessed abundantly. 6
@
@abellmainge10234 years agoCorona tanzania pita kuleee. Gonga like twende pamoja kuchapa kazi . 35
@
@wilonjahatua20674 years agoKama kweli mh rais magufuli anatumika vyema ungana nami hapa. 21
@
@sempaprudence90524 years agoMy president am proud of you the was you are discharging yourin a humble approach. My prayer you lead us for the next 20 yrs or else you propose a dedicate president as you do. May god bless you.
@
@tugesyegemwakatumbula98574 years agoWakenya mnamtamani rais wetu tuungane basi kumuombea ili anavyo fanya mambo mazuri na viongozi wenu waige kutoka kwake. 42
@
@avax57174 years agoI am proud to have such man as my president. 1
@
@masigomhoja51824 years agoBaba yetu mwenyewe uyoo tunakupenda sana raisi wetu. Weka like kwa jpm pia 2020 ni jpm tena. 34
@
@khamismole36794 years agoMay god bless you magufuli, not like other leaders their names sounds freedom but they don' t care their people they are all after their stomach. 3
@
@partohmsee59924 years agoNani mwingine anasema heri magufuli milele. Hit the like button twende sawa. 48
@
@africayetutv3294 years agoThis is our beloved president magufuli the man of god' s power, tanzania oyee. 7
@
@elkpddos17814 years agoProud of him, that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent spoken true let' s work brothers and sisters in our country what ever in case we will die.
@
@faizabbas26904 years agoMagufuli wewe unafaa ukuwe raisi wetu wa kenya tutakupa kura zetu zote. Gonga likes watanzania nawapenda sanaa watz. One love from kenya. 66
@
@mwesigwakabyemela61124 years agoGod bless our president john pombe joseph magufuli. 2
@
@mashashijumanne47914 years agoWhat a wonderful president! Hakika jpm n chuma cha pua! Mungu akubariki na akulinde zaidi mh rais. 17
@
@nyacherimramba5954 years agoWale wa singida wenzangu, ebu naombeni like zenu leo jmn. 38
@
@felisterchimtunga70114 years agoI love you mh rais mungu akupe maisha marefu hiyo ndo dua yangu ya kila cku. 26
@
@robertambrose12314 years agoNo korona tanzania mungu mbaliki magufuri sana tena mwakani tumrudishe ikulu kama unakubari gonga like. 53
@
@partohmsee59924 years agoBarikiwa sana jpm akuna kiongozi mngwana kama wewe mungu akulinde mchana na usiku. 17
@
@lubadila3594 years agoMm naona magufuli katumwa na mungu maana sio kwa kazi nzr kama hii. 45
@
@wilonjahatua20674 years agoKama unamkubali rais magufuli acha majungu na uoga gonga like yako hapa please. 26
@
@sameermilo24924 years agoWell done mr president. Mungu akubariki sana. 17
@
@isayalaizer99934 years agoBaba yetu mwenyewe uyoo tunakupnda sana raisi wetu. Weka like kwa jpm. 94
@
@partohmsee59924 years agoKenya jameni tulikoseakuja uridhi kenya ndiposa tuokolewe! Kama wewe ni mkenya na unakubaliana nami gonga like twende sawa. 27
@
@sylvesterraymond93714 years agoNapenda kunukuu maneno ya muheshimiwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa kuwa " mwanamke hupewa hongera na mwanaume hupewa namimi napenda kutoa pongezi zangu kwa muheshimiwa raisi kwa kulitanguliza taifa mbele pamoja na wananchi wake. Mungu akulinde na akupe afya njema. ...Expand10
@
@partohmsee59924 years agoKama wewe ni mkenya na umependa wazo la jpm tujuane kwa likes! 39
@
@gracemwaipopo32094 years agoNakupenda rais wangu, nakuombea saana, natambua unakutana na magumu mengi coz unasimamia ukweli, songa mbele. 16
@
@saidomar68064 years agoNajivunia kuwa mtanzania, nchi ambayo inaongozwa vyema na rais wenye upendo huruma na watetez wa wananchi na wanyonge, ubarikiwe mh rais magufuli kw kaz nzur unayoifanya. 7
@
@dafrozachalukula97454 years agoDr. Rehema chimbi rc nakupenda sana, mungu akuongoze mama! 6
@
@abuuanwar00764 years agoMagufuli oye, piga kazi baba. Sisi wa kenya tunakupenda sana. Ukimaliza huko uje na huku kwetu. 8
@
@ernestmpompo46374 years agoJamani hichi chuma kisiondoke mapema madarakani mana si kwa furaha hi tuliyonayo watanzania. 32
@
@PharmacyProfession4 years agoWe always appreciate you mr. President. 24
@
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG4 years agoMwamba chuma, miaka 100 mungu azidi kukubaliki. 6
@
@upendohalisi804 years agoHebu dereva wangu wewe unakolona eti, haha hii nimeipenda, hatuna corona sisi watz tupo vizuri aise na tunaakiri nyingi sana na tunapendwa na mungu baba. 17
@
@ramadhanichaulembo13294 years agoKingozi shupavu mungu akirinde daima raisi wa dunia zima. 17
@
@kudraahmad60034 years agoKiukwel maguful sina cha kukulipa ila mimi nipo kwenye folen kuanzia leo kukupigia kura, namuomba mungu upate asilimia mia ya kura 2020 mwezi wa kumi. 33
@
@deborahgodda70524 years agoWambie baba yetu wanaokuzarau wataumbuka sana. 30
@
@peterjohn19694 years agoNina kushukulu mungu ulie ziumba mbingu na nchi navyote umezihi lisha unama kusudi nanchi ya tanzania pia asante kwa kutupatia raisi mzuri sana tunampenda kweli. 19
@
@florianmangasini12694 years agoMungu akubariki sana rais wangu natamani ungeendelea kutuongoza hadi tukae sawa. 4
@
@nancykemunto28994 years agoRaisi mpenda watu wake, mm nimekenya lakini nakupenda sana raisi wa wayonge. 27
@
@luluamri3704 years agoKenyatta njoo umuone mwanaume akiwa kazini. 63
@
@tinyaanosiatha11184 years agoSimba wa afrca jpm hongera kwa ujasiri ulinao mungu. Akulide. 5
@
@husseinmkakile92064 years agoNani kafurahi kumuona dereva wa raisi. Kama mimi? Gonga like hapa. 35
@
@japhetpeter16924 years agoYule wa kwanza kuongea hana kitu ila anariria amani: asante mungu kwa kutupa kiongozi bora. 23
@
@brunompolle14044 years agoMungu akubariki sana jpm kwakua wewe ni jaguo la mungu so kwauwezo wetu. 5
@
@saidrusuma85234 years agoJemedali wa africa, rais john pombe joseph magufuri! 14
@
@nyanda4274 years agoGod bless you mr president dr. John pombe joseph magufuli. Tanzania tunaweza. 20
@
@halidnangeda15124 years agoHakika magufuli ni jembe chapa kazi baba 2020 october unapita asubuhi ccm oyee. 16
@
@sekiondowarema17864 years agoMwenyezi ibarikiafrica mashariki ibariki africa. raisi magufuli n jembe kwelikweli. 4
@
@tonymalando98724 years agoHili kamanda linatisha haliogopi hata korona. 50
@
@abdallagakweli63664 years agoYaani mm ni mkenya lkn cna time ya kuangalia rahisi wa kenya akifanya mikutano yke isiyosomeka lkn kwa rahisi maghufuli wallah huwa ckosi kuangalia mikutano. ...Expand15
@
@benjaminsimon37154 years agoHakika wewe ni kiongozi kila ninapokuona ninafarijika kwa uongoziwako uliotukuka ninakupenda sana raisi wangu chapakazi mungu ibariki tanzania mungu mbariki magufuli. 9
@
@godykenza82864 years agoDuh eti namba tatu g. Ebanaee huyu mtu noma. Master wa kumeza. 16
@
@alikhamis63364 years agoRais allah akuongoze kwa hakika unajitahidi na kwa kweli ni mzalendo wa kweli. 5
@
@rukyarukya22304 years agoAllah akuongoze rais wang katika nafasi yako tunakuombea san majaribu yakupitie mbali najivunia kuwa na rais kama huyu alhamdullah. 1
@
@bishopkulwajz2094 years agoChapa kazi rais wetu tunakupenda na kukuombea afya na maisha marefu. 1
@
@safarikarisa32994 years agoHongera magu. Wewe ndo rais wa maana xna. Xio uyu kenyatta asiye na maana yeyote. 25
@
@Queen-te3lz4 years agoMpaka najisikia raha mm jisi raisi alivyo na upendo na wananchi wake. 10
@
@salmadalaquimane23644 years agoWallah mapenz yangu kwako aya semek i really love u allah akufanyie wepes katka kila jambo lako kipenz chang. 1
@
@davidnyaonge20354 years agoWale wa lockdown siku14 wangeongeza siku 21 tena. 14
@
@adamuissuja81264 years agoAdam ramadhani issuja hongera sana mheshimiwa rais wewe ni jemedari wa kweli. 2
@
@johnplacid88854 years agoHaya mbowe baba kaja dodoma kama umesikia ukichokozwa sana na wew chokoza kidogo gongalike. 4
@
@williamkivuyo87864 years agoHongera mheshimiwa rais kwa bidii ya kazi, maendeleo yanaonekana, 13
@
@emanuelminja48464 years agoMimi nilienda singida nilishangaa sana vilena barabara na kile kituo cha mabasi. Naipongeza sana serikali. Wanasingida muitunze iyo miundombinu msitupe uchafu wala kutupa hata vochawadogo mufagie maeneo yenu naili pabaki safi kila muda. ...Expand5
@
@dadibindinho37434 years agoNa corona imewakoromea wengi huko nakupenda sn rais wangu jpm. 13
Related videos for LIVE:RAIS DKT. MAGUFULI AKI WAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI ALIO WATEUA, IKULU CHAMWINO:
indeed almighty god is with us
stay safe please for our success. 17
appreciated. 11
this he has come to serve his nation and continent without restriction or selfish interest. ...Expand 30
mm n mkenya lakini magufuli nataka akuwe raisi wetu wa kenya. Naomba likes zenu watanzania. 154
god bless you dr. Jpm. 4
rais john pombe joseph magufuri! 14
ccm oyee. 16
raisi magufuli n jembe kwelikweli. 4
nakupenda sn rais wangu jpm. 13