@adammjomba15544 years agoWewe ndungai umesha kua mzee ni wakati wako wa kutenda haki unawadhulumu sana wapinzani hususani wabunge wa chadema hawachangii chochote dk 10 wanazo ongea. ...Expand
@novesnuhunathan61058 months agoHuyoo dada untill now nyeye aliukosaa.
@
@ameknews23154 years agoNdugu zangu wa tanzania ninaomba katika uchaguzi wa 2020 tunapotaka kuchagua viongozi naomba tuangalie nani atakuwa muwakilishi sahihi kwetu sio tuangalie ahsante. ...Expand4
@
@vitalischarles27144 years agoMh. Raisi funga hili bunge maana limepoteza dira. Personal matter zinageuzwa ajenda kweli mh ndungai muogope mungu. Unakera sana brother. 3
@
@jamaa27604 years ago" kapata ubunge kamwacha mume" 6
@
@solemba5954 years agoKwa aina hii ya uwakilishaji, tutamiss sana bunge la speed and standards, r. I. P mzee samueli sita.
@
@loishiyesamwel13744 years agoHili ni bunge la nyuma kabla ya uchaguzi, hapa waliofeli ni kessy mwenyewe au pamoja na speaker ndugai.
@
@amotowntz63814 years agoNdugai muogope mungu ndugu yangu, usilewe madaraka kumbuka mungu ndio speaker mkuu.
@
@khadeejaabdullah70834 years agoYaan mh kessy jamn uchelewi kutoa povu.
@
@mathiaszakaria70524 years agoDahhh yaani spika hana double standards kabsa inaonesha anapenda sana wasema ovyo kuliko wasemwa ovyo. 1
@
@salimliemba34584 years agoDada kaingia cha kiume chezea kessy kamaliza kila kitu. 1
@
@johariismail26464 years agoSpeaker angalia kauli hizi zinaghafirisha watu. Bunge linatoka kwenye mipaka na kuwa mipashoo.
@
@philiposhilingi9544 years agoHahaha jamn mmi ni raia wa nkasi kusini lakin naungana na kesi kwa asimia 50% kwa mabadiliko aliyo yafanya nkas kaskazini kiukwel tunatamani wana nksi. ...Expand2
@
@husseinkonz51924 years agoKiboko ya nyumbu wazush ni babu kessy hapendag ujinga. 2
@
@leonardmanyanza10584 years agoKuhusu bunge lisiwe live hii ndo maana yake. 2
@
@tanzaniayetu69734 years agoDah hili bunge lisiende kwa uzalilishaji wanamna hii, wanawake watakosa confidence yakueleza mambo yamsingi, alafu utaona tofauti ya mabunge ya wasomi. ...Expand
@
@stevenngussa93343 months agoNdio maana hakajarudi bungeni haka kazee, shenxi type.
@shabaazbikorwa25804 years agoSpika hauko fair ipo siku utakuja kupata matatizo utakapo toka madarakani usiwi na double standards unapo simamia bunge. 4
@
@hajihaji63514 years agoHawa wabunge hawana tena cha kujadili wamalize tu watokee.
@
@anuarabdullrahman59934 years agoSema huyu mzee anazingua point zake pumba sometimes.
@
@margarethsaramaki39664 years agoHuyu hafai uwa anaongea hovyo kweli hana ustaarabu.
@
@peterjohn19694 years agoNdugai chapa kazi usiangalie makelele yawatu wewe angalia hoja niyakweli au la wengine muachie mueshimiwa kesi amalizanenao.
@
@peterjohn19694 years agoMueshimiwa kesi safisana ao wamama walioacha waumezao wasikuzoee kwaajili ya ubunge wasikuzoee wakazie makahaba wanataka kushindana wanawanaume.
@
@cazoramahussein19984 years agoEt nd spika wa bunge yan anafanya kampen hapohapo math**r f**k.
@
@adammjomba15544 years agoWewe ndungai umesha kua mzee ni wakati wako wa kutenda haki unawadhulumu sana wapinzani hususani wabunge wa chadema hawachangii chochote dk 10 wanazo ongea. ...Expand
@
@ameknews23154 years agoNdugu zangu wa tanzania ninaomba katika uchaguzi wa 2020 tunapotaka kuchagua viongozi naomba tuangalie nani atakuwa muwakilishi sahihi kwetu sio tuangalie ahsante. ...Expand4
@
@philiposhilingi9544 years agoHahaha jamn mmi ni raia wa nkasi kusini lakin naungana na kesi kwa asimia 50% kwa mabadiliko aliyo yafanya nkas kaskazini kiukwel tunatamani wana nksi. ...Expand2
@
@tanzaniayetu69734 years agoDah hili bunge lisiende kwa uzalilishaji wanamna hii, wanawake watakosa confidence yakueleza mambo yamsingi, alafu utaona tofauti ya mabunge ya wasomi. ...Expand
Related videos for MBUNGE ALLY KESSY AMSHAMBULIA MBUNGE MWENZAKE UMEACHANA NA MUME WAKO BAADA YA KUPATA UBUNGE:
hapa waliofeli ni kessy mwenyewe au pamoja na speaker ndugai.