Mpenja Tv imefanya mahojiano na Kamisaa wa Mchezo wa Kagera Sugar Vs Simba Ndugu Nasib Mabrouk kuhusu sababu za mechi hiyo kuahirishwa.
.
Fungua video hii kupata habari kamili.
.
#simbasc #kagerasugar #mpenjatv #nbcpremierleague
Category
Show more
Comments - 101
@
@queenmwasanguti23703 years agoPoleni sana watani wetu, mungu awarudishie afya mapema, 7
@
@leonardkayolo73143 years agoPoleni sana wachezaji wetu wa msimbazi. Mungu awajalie mpone soon. 2
@
@queenmwasanguti23703 years agoWeekend imepoa sana, afya njema tunawatakia. 3
@
@lwagamwakalinga80383 years agoMi si shabiki wa simba lakini inpokuja suala la afya za watu ni vema tuwaombee kupona haraka. Namuomba mungu wa mbinguni awaponye haraka watani zetu simba. 9
@
@bettyzakayoukosaf80363 years agoJe nini maana ya kusajili makoro wameogopa morrison bwalia kukosatu. 1
@
@staralive92603 years agoHakuna aja ya kutuambia kuwa tanzanll00.
@
@paulm.97913 years agoMnasema wamekimbia na kama ni kweli wanaumwa wapo serious ikitokea yamatokea yakutokea mtasema nini. Ndugu msicheze na maisha ya watu, ni binadamu na id="hidden2" wana familia kama wewe, mafua yanaambukiza, mmoja akiugua nyumbani nyumba yote wanaumwa, so mnashangaa nini? Haijawaji kukutokea? Hao jamaa wapo kambini inawezekana sana mmoja kaambukiza wote coz wana share almost kila kitu mungu awaponye. ...Expand6
@
@xhinjikagawa51023 years agoWasipowalipa kazeni maana kama ni droo muliipata.
@
@deusdeditknkunga60473 years agoSo, why on earth did simba travel to. Kagera?
@
@keffajacob89523 years agoWapeniuwanjani bado wanyongenyongendipo pakuwa kamatia hao wagumu!
@
@meshajoni56623 years agoIngekuwa no yanga wenzetu mngetutukana,
@
@nasskidy81963 years agoSasa kama yote yalikamilika si waje uwanjani.
@
@lusajomwankusye6023 years agoWalipeni wachezaji ahadi mliyo wahidi siku ya tar. 11 ya watani wa jadi na malimbikizo yao. 1
@
@asnatlayson30813 years agoAchen ujanja nyie sema mwamsubilia yanga matokeo yake kesho kwani s wamechanjwa chanjo kwaiyo haisaidii kitu. 2
@
@bonifacefilbert73243 years agoKwani vilabu vina jumla ya wachezaji wangapiulazima kuhailisha mchezo.
@
@asnatlayson30813 years agoHakuna mgonjwa hapo sema tu mwataka mjue matokeo ya yanga hapo kesho ila hamna lolote nyie kwaiyo chanjo haisaidii kitu sasa chanjo niyann sasa.
@
@nurdinmfamau34933 years agoSimba inakikosi cha wachezaji zaidi ya 25 au 32 kwasababu hizo hazina mashiko wala hoja yakuhairisha mechi. Wachezaji wengine wacheze. Wogan tu. Au ndio mmeanza kuupiga mwingi. 1
@
@kelvinmapunda25893 years agotunaomba na yanga nayo ihairishe kama ni season influenza bhc ligi zima isimame.
@zuberikupaza11843 years agoHapo mgonjwa ni morrison na inonga ikabidi wasingizie timu nzima!
@
@robertphilip3853 years agoWaongo walichungulia kwenye kibuyunyingi.
@
@leemabibaphotography80533 years agoUongo mafuwa gani si museme ukweli janja tuuh. 1
@
@innobugobola16943 years agoUoga tu ingekuwa ndo kagera simba ingepewa point na kagera wangepigwa faini. Mambo ya ovyo kabsa.
@
@frankmayombya56253 years agoWachezaji wanadai posho na ahadi walizohaidiwa katik mchez wa darby walipeni watapat nafuu.
@
@issasaedy78793 years agoWamekimbia kama kawaidayao tunawajua ilamwisho watakujatuu watanaswatu hiyoni janjaya tff watakujatuu. 1
@
@habibrwegoshora66243 years agoHuu ni uhuni tu kagera wapewe point zao 3. Hii mala pili sasa toka ligi ianze.
@
@ibrahimmtoni75703 years agoSimba ndo tabia yao wakiona ugumu kdg wanakimbia wanawaogopa hd kagera.
@
@vailethkayombo193 years agoWajinga sana hao simba wanaofia muchuano huo ndooe maana wameugua gafla.
@
@islafilnassibu18143 years agoWamechoka wana ogopa ndany yapich wanaeza wakapoteza mchezo wanataka wapumzike kwanza.
@
@paulm.97913 years agoMnasema wamekimbia na kama ni kweli wanaumwa wapo serious ikitokea yamatokea yakutokea mtasema nini. Ndugu msicheze na maisha ya watu, ni binadamu na id="hidden5" wana familia kama wewe, mafua yanaambukiza, mmoja akiugua nyumbani nyumba yote wanaumwa, so mnashangaa nini? Haijawaji kukutokea? Hao jamaa wapo kambini inawezekana sana mmoja kaambukiza wote coz wana share almost kila kitu mungu awaponye. ...Expand6
Related videos for BREAKING NEWS: MECHI YA KAGERA NA SIMBA YAAHIRISHWA/SABABU HIZI HAPA MSIKIE KAMISAA WA MECHI HAPA: