Duration 2:7

Jopo la madaktari Hospital ya Benjamin Mkapa wafanikiwa kupandikiza figo

784 watched
0
13
Published 8 Jan 2020

Jopo la madaktari wa Kitanzania katika Hospital ya Benjamin Mkapa iliyopo jijini Dodoma limefanikisha zoezi la upasuaji na upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wa nne ikiwa ni mara ya kwanza kufanyika na madaktari wa Kitanzania katika hospital hiyo. #AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamTV #AzamTWO #AzamTVHabari

Category

Show more

Comments - 4