@gyzzo74 years agoNajivunia sana kumpata huyu mtyu kwa sababu zifuatazo 1: ni mtu wa mungu kwanza 2: ni mwenye kujali ana upendo na wananchi na nchi yake 3: anatumia hekina katika maamuzi 4: habagui 5: hapendi chenga( he' s direct) 6: si muoga wa kujaribu au kuamua jambo 7: si muongo sana japoila afadhali anatufungua kwa baadhi ya mambo hayo ni yangu naamin na ww una mengi zaid yangu msinipe like leo. ...Expand58
@
@dismasmushi35244 years agoGreat things done. congrats mr. President jpm. 1
@
@thomasmsechu47844 years agoAnayekubali yanayofanyika hapo ubungo gonga like twende sawa. 74
@
@gulamvira36444 years agoYes god is always gliding our president magufuli and we witness his dream are fulfilled and inshallah more and more projects are on the way to success and my heartfelt prayers are for you.
@
@sankofaman41124 years agoTanzania inatia moyo sana! Hii ni ishara tosha kwamba africa tunaweza tukiwa na " viongozi bora" hapa kwetu kenya ni " boramungu m' bariki john pombe magufuli! 5
@
@josephvenus32594 years agoMagufuri is a good leader of tanzania and africa in general.
@
@sulemaniorwa32214 years agoKwa magufuli, sijaona wa kumreplace. Namkubali sana rais wangu. 51
@
@jenyyusuph49734 years agoHee jamani dar es salaam imekua dubai? Jamani tusipo mshikilia magufuli mungu atatukasilikia sana. 33
@
@maryambarayan75994 years agoPongezi nduguzetu kupata kiongozi mchapa kazi. Kwa maoni yangu muacheni madarakani mpaka pale mungu atakapo muita. Mubarikiwe sana my neighbors. 7
@
@fatumahassan82124 years agoHongera tanzania ni hatuwa pekee ya kuonyesha utumishi bora katika serikali ya awamu ya tano imekuwa na utekelezaji wenye umahirirais ni mfano wa kuigwa. 17
@
@ibrahimayoubdhahabu9844 years agoHiyo kazi inahitaji kiongozi mzalendo na mwenye chachu ya maendeleo. 22
@
@ferouzmasoud47414 years agoAsante rais wetu magufuri mw/mungu akupe maisha marefu. 3
@
@oman77104 years agoMashaallah, mungu ibariki tanzania, mungu ibariki africa, mungu wabariki viongozi wetu. 9
@
@wisperfect19604 years agoMnaonaje tupige kura ya ndio kumuongezea atawale miaka 30 ili nchi yetu isonge mbele zaid? 21
@
@husnahassan62894 years agoNaiyona dubai ya bongo ile soon mashaallah asante rais wangu ww ni zaidi ya mkombozi wetu baba mungu akubariki mno ameen jpm oyeee tanzania oyee. 2
@
@kingjoshuamhuamk25594 years agoHi ni mzuri sana kwanza kwa kuzingatia bus lanes au brt nimefurahi sana watanzania mpende miradi yenu na muitunzenze na nikiangalia tanzania mko na ardhi. ...Expand1
@
@azzamahamdu70394 years agoMashalaah tz nchi yangu naipenda. Zaman ilkua hamna hii. @Maguful babalao. 2
@
@richardboaz-mashagospel23464 years agoPesa ya watanzania sasa inaonekana very tangible. Naomba katiba ibadirishwe tu mzee wangu kipenzi asitoke mapema aendelee na kutukomboa! Najua akimaliza. ...Expand2
@
@abuu53684 years agoMkodrone shooting mliofanya keep it up goid work. 5
@
@eddimalon60514 years agoVery nice magufuli. Wahenga walisema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Thanks magufuli, tunategemea mengi zaidi maendeleo. Inshaalwwah.
@
@charlesnkwale93114 years agoInapendeza, inatia moyo, mungu amubariki mr. Prezide, mungu ibariki na kuilinda nchi yetu tanzania.
@
@henryndosi11144 years agoMagufuli baba lao; kwa maendeleo ya watanzania. 6
@
@iddihassani10814 years agoHakuna haja ya uchaguzi wamuapishe tu maana kwa haya hata kampuni ya mbowe itasubiri sana labda vizazi vyijavo. 5
@
@nelsonsimtowe42684 years agoTumuongezee miaka 20 ama 30 nchi ipaee. 35
@
@kingleonard34844 years agoKwenye uchaguzi mkuu 2020, bila kulazimishwa, wala kuulizwa. mimi na miguu yangu, moja kwa moja mpaka kituo cha kupiga kura naenda kumpigia kura salute to you my president. mungu aendelee kukulinda na kukupa afya njema. ...Expand1
@
@ismailyusuph7404 years agoHongera sana serikali yetu. nimeona bodaboda mmoja anapita kwenye barabara ya mwendokasi na mtembea kwa miguu mmoja anavuka sehemu siyo. Hili n. ...Expand2
@
@betridangosi68664 years agoKuna mataifa wanatamani hata wamnunue rais wetu, siri kubwa anamtanguliza mungu kwa kila jambo. Mungu azidi kukuinua. 1
@
@hamsouledi174 years agoKiongozi muadilifu mr magufuli hongera sana.
@
@priscacharlescharles90144 years agoHom sweet hom sweet nani kama magufuli. 1
@
@halimasaleh57054 years agoHongera kwetu watz wote nchi yetu inapendeza sana. 2
@
@deboradaniel79294 years agoAsante mungu kutupatia kiongozi wa aina hii.
@
@maryamsylivester86624 years agoMashaallah jamani tanzania yetu inazidi kuvutia. 1
@
@filbertakaro37394 years agoThe transportation industry is a very good investment opportunity.
@
@fahadelloufy2704 years agoMagufulification of god save john pombe magufuli. 14
@
@gudbwoy35694 years agoDar zimefika tatu sasa, miaka mitano ijayo zitakuwa sitaaa. 2
@
@Zetona-wk8de4 years agoAllah ampe afya njema pongezi kwake rais magufuli huu ni mfano wa kuigwa na viongozi wengine naipenda nchi yangu tanzania.
@
@bestscene57304 years agoJpm2020 hanampinzani lissu katiwe dole. 3
@
@user-rk2ng6up9q4 years agoKabisa nakubali hongera sana magufuli.
@
@saadababy45304 years agoHeko kwako mr president jpm. Mambo haya tulikuw tunayaona kwny video. 27
@
@mapete21544 years agoTujipongeze wafanya biashara wazalendo na hii ndio faida ya mapato yetu. 35
@
@amanichomola66964 years agoKweli kuna baadhi ya boda kunawakati wanahitaji kushtuliwa kwa viboko. 3
@
@jacksonkyando78694 years agoHii ndio maana halisi ya hapa kazi tu, pongezi kwake jpm 2020 bila kipingamizi. 4
@
@baylamkandwa38954 years agoYaani had mwaka ambao mm nitanunua gari tanzania yangu ishakuwa kama ulaya. 6
@
@asiaaliy43664 years agoHongera jp magufuli baba lao 100%jembe la nchi.
@
@leeskillz37344 years agoHad nataman ninunue gari nije huko ubungo nipige misele mungu amjalie nadhani tutajionea mengi zaidi.
@
@adelinaadoloph53114 years agoMagufuri oyee umefanya kaz nzr nakupongeza.
@
@simu20084 years agoTunaiomba serikali ifanye pia upanuzi wa barabara kuanzia ubungo mpaka magomeni angalau njia 3 kwa 3, kwa sasa ni nyembamba mno, aiendani na hadhi ya hiyo overpass. 6
@
@simonpure1094 years agoSafi sana,ila@ umecheki changamoto ya upumuaji?
@
@freddiemanento63184 years agoGod bless tanzania, god bless our preaident and his entire government. Yaani hii inaleta raha jamani.
@
@veronicadickson18594 years agoTulikuwa tunayaona tuu kwenye tv sasa macho kwa macho, mungu akupe afya njema ili tuzid kushuhudia wema wako. 7
@
@kumbomediaofficial4 years agoHeko kwa serikali. Ayo tv iko vizuri pia. halafu fam naomba support yako pia hapandipo pia sisi twainukia. 14
Related videos for KWA MARA YA KWANZA MAGARI YALIVYORUHUSIWA KUPITA BARABARA YA JUU UBUNGO FOLENI IMEPUNGUA:
1: ni mtu wa mungu kwanza
2: ni mwenye kujali ana upendo na wananchi na nchi yake 3: anatumia hekina katika maamuzi
4: habagui
5: hapendi chenga( he' s direct)
6: si muoga wa kujaribu au kuamua jambo
7: si muongo sana japoila afadhali anatufungua kwa baadhi ya mambo
hayo ni yangu naamin na ww una mengi zaid yangu
msinipe like leo. ...Expand 58
congrats mr. President jpm. 1
magufuli, tunategemea mengi zaidi maendeleo. Inshaalwwah.
mimi na miguu yangu, moja kwa moja mpaka kituo cha kupiga kura naenda kumpigia kura salute to you my president.
mungu aendelee kukulinda na kukupa afya njema. ...Expand 1
nimeona bodaboda mmoja anapita kwenye barabara ya mwendokasi na mtembea kwa miguu mmoja anavuka sehemu siyo. Hili n . ...Expand 2
halafu fam naomba support yako pia hapandipo pia sisi twainukia. 14