@hammerQ9542 years agoHii namba nne ilinitokea siku ya msiba wa baba yangu kuna rafiki yangu kila mda anakuja kunipa pole dah alikua anazidi kuniumiza mpaka mwisho nikamwambia ooy boi pole zinatosha kwa sasa. 3
@
@stainamwannda37002 years agoNimejifunza mengi kupitia haya mungu akubariki sana. 1
@
@videotrends12554 years agoNimejifunza mkuu. Ni lazima kuna wakati wa kukaa kimya. 1
Related videos for TAMBUA NYAKATI ZA KUKAA KIMYA.: