🔴#LIVE: MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU RAIS SAMIA, MAMA JANETH NA KIKWETE, HOTUBA YAKE NI TAMU KWELI!
MWILI wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, unatarajiwa kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele, Leo Machi 26 huko Chato Mkoani Geita...
Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi wastaa wakiwemo Marais wa awamu ya Pili, AL Hassan Mwinyi na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@queenkileo36983 years agoBless mzee wetu. He still got the sense of humour! 21
@
@davidsalikoki63193 years agoKama na wewe ulitaman aendele twende sawa like. 39
@
@muhammadsaidi48723 years agoAllah ampe siha na afya baba mwinyi na ampe mwisho mwema yarab amin yarab shukran sana maneno mazuri yenye hikma sana. 9
@
@ibba80823 years agoHata namuona mama janeth angalausana mzee wetu. 23
@
@johanajoseph8783 years agoRaha sana kumsikiliza mzee wetu jamani, siku mojamoja apewe nafasi aongee na wananchi wake, tusisubiri siku tukimkosa jamani, maana maisha yana mwisho. So loveble babu. 6
@
@bintmohamedmalevi37713 years agoPoleni sana ndungu mzee anatufanya tucheke msibani. 11
@
@aminatanzanya74753 years agoMungu akupe maisha maref mzee mwinyi leo tumekuw happy kidg kwa ajili yako. 8
@
@Brain79123 years agoUmetufariji kwa kipindi hiki kigumu kwani maneno yako ya hekma yametupa faraja na nguvu mwenyezi mungu azidi kukupa nguvu hekma na busara kwa uwezo wake (amen) 4
@
@violetmageto71343 years agoNimeipenda hotuba yake. Anaongea kwa heshima sana na hekima. 18
@
@nully1233 years agoAllah akupe afya na umri mrefu mzee wetu nampongeza pia bodyguard akijaribu kumsaidia. 11
@
@raymondmchani84933 years agoThank you mzee wetu rais mstaafu a. H. M for giving us laughter during this hard times for most of usthe rest of world who believed on our beloved mwendazake. 22
@
@thomasmartinez7863 years agoMama siti uko pale ningemuuliza wapi hapamiaka mingi mzee wetu mungu akulinde. 19
@
@ashimaaurassa81753 years agoMungu ailaze roho ya jpm mahalia pema peponi. 7
@
@cefinelgon25483 years agoRaha sana kuwa na wazee waasisi wa taifa. 12
@
@ponsianamataka46073 years agoAsante baba mzee mwinyi. Nakuona jinsi ulivyo mnyofu kutoka ndani kabisa ya moyo wako kama mtoto mdogo na speech ni nzuri sana. 2
@
@nellyelias203 years agoSafi sana mzee wa ruksa kwa kusema ukweli umenifurahisha sana.
@
@sweetluc26603 years agoAsante mzee wetu mwinyi kutufanya tucheke kidogo baada ya kulia kwa wiki zima. 8
@
@pendaelimolell35103 years agoAsante mzee wetu afadhali mama janeth kapata furaha kidogo. 4
@
@sweetluc26603 years agoBaba hayati raisi wetu wanyonge amewainua leo tumecheka kidogo mzee wetu mwinyi mungu azidi kukutunza. 9
@
@kennedysalanomashairi71873 years agoRukhsa! Twakuheshimu mno afrika mashariki rais mstaafu mwinyi.
@
@sameerahmed28383 years agoMan of the match kwenye team ya waombelezaji. 5
@
@rekidiusalexander15423 years agoGreat god bless you mwinyi r. I. P mr president jpm akika tutakukumbuka daima. 6
@
@marianelmi61683 years agoMaashaalah tabaraka what are decent man. 5
@
@agnessmpogole14343 years agoUbarikiwe sana mzee umetufanya tucheke kidogo. 1
@
@hajishabani79573 years agoHotuba ya dhati kabisa. Bila unafki ndani yake kawa yule. Mungu akubariki mzee wetu mwinyi. 10
@
@vonethaleonard1723 years agoAsante saana baba mwinyi na hekima ya nchi yetu. 1
@
@alzainaalaghbary55603 years agoMzee wetu allah akujalie kila la kheir na akuhifadhie mama siti.
@
@leiratykisura67183 years agoAllah ampe maisha malefu mzee mwinyi in sha allah ametupa faraja na bahada ya wiki mzima tunaria reo ametufanya tumecheka allahmdulillah. 4
@
@florakweyunga44903 years agoNikweli ulimpenda maguful mzee wetu. Mungu akupe nguvuna afya ya roho na mwili. Umeongea ukweliwakupe muda mwigi. 3
@
@bazilizakaria1433 years agoDah asante raisi mstaafu kidogo na mimi nmecheka. 1
@
@nickodemsimchimba5943 years agoDaa mzee chochote kinachopita mbele yake anaongea tu. 16
@
@meena-ol6fo3 years agoUmetufariji baba tumelia sana mzee rukhsa we love you. 1
@
@jonasmaganga73023 years agoKwa mara ya kwanza nimeona body guard anacheka. 6
@
@Ramadhanimsingwa3 years agoMungu akikupa busara na hekima hadi uzee ni kumshukuru hongera raisi mstaafu.
@
@focuseric41093 years agoNdugu zanguni watanzania wazalendo tumuombee mzee wetu mwinyi mungu ampe maisha marefu lkn leo hii mzee mwinyi amenichekesha sana! Yupo chato lkn kasahau jina la mahali alipo akamuuliza mama siti mwinyi nimecheka sana! 15
@
@adbashtv67013 years agoMzee kafanya kazi nzuri mno kumtabasamisha mjane.
@
@neemakoka5993 years agoMzee havai hata miwani dah kweli mungu kampendelea. 23
@
@ramadhanikamaka38393 years agoMzee mwinyi hakika wewe ni zaidi ya jembe, umeleta faraja kubwa sana kwenye msiba mkubwa, inshallah mwenyezi mungu akupe afya tele mzee wetu.
@
@nasramaulid38283 years agoMzee wa ruksa allah azid kumuweka jaman. 2
@
@khamikhan48053 years agoMzee ana hekma kubwa allah ampe afya njema. 7
@
@shamomar6293 years agoMiaka 96 na havai miwani! Allah amlinde na afya njema.
@
@gloriamasaka76353 years agoTunaomuobea sana raisi samia. Mungu help tujali wanyonge na wenye mahitaji yatima wajane na wageni. Mathayo 25 na isaya 58 inatufundisha kujitayarisha. ...Expand2
@
@helensusana20263 years agoMarais wa inchi ya tanzania wote ni wa maneno ya busara, vijana igeni mfano huo. Jpm nenda salama tutakuombea. 4
@
@magrethandrew95033 years agoHii hotuba natamani kuirudia hata mara 100, imetufuta machozi kwa kweli ina ukweli mtupu, mungu akubariki babu. 1
@
@wilrickshayo81443 years agoNgoja kwanza kijana wanguu hapa ni mjinii.
@
@marygustaph36493 years agoMama siti panaitwaje vile hapa, mungu akutunze mzee wetu, umetufanya tutabasamu japo tuna majonzi, rip magufuli ) 3
@
@josephjohnmagesa82563 years agoMzee ajavaa miwani, amesimama dakika 25, dah balaa. 2
@sifasanga78663 years agoMwinyi umewashinda wote, mama janet leo kafarijika. Ulikua wapi babu wa mie jamani. Ametabasamu leo mama etu sababu yako. 2
@
@madamboss3483 years agoWazee kama hawa ndio sudi khalwale wa kenya mungu sijui kenya tuligwama wapi.
@
@benjaminjoseph17473 years agoHuyu mzee nampenda. Hana wivu ka wengine. Sio mara ya kwanza kukiri kwamba magufuli ni mchapa kazi, amefanya mambo makubwa na mazuri kwa muda mfupi kuliko sisi tulioongoza miaka 10. Mungu akulinde na kukubariki mzee wetu. 6
@
@amanichanga34483 years agoRaisi pekee ambaye bado yupo kwenye hela, sh 50. 8
@
@vincentmushi12473 years agoMungu azidi kukupa uzima babu yetu wa taifa, mzee ruksa, haki hotuba yako ni faraja kubwa kwa wafiwa na taifa zima yaani nimecheka mpaka basi, mpaka hamna miwani wala mkongoja babu oyeee. ...Expand
@
@mahesenitunduma24383 years agoEti mama siti yuko mbali ningemuuliza hapa panaitwaje! 3
@
@allymwazoa63013 years agoSiku moja ukasema ngojakatika mazoezi miaka yote kila asbh nakimbia maili tano. Leo nimeona uimara wako bado hushikwi mkono wala hushiki bakora. Mola akuweke mzee mwinyi.
@
@saidbissama92303 years agoMama siti ndo mkalimani wa mzee mwinyi. 3
Related videos for LIVE: MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU RAIS SAMIA, MAMA JANETH NA KIKWETE, HOTUBA YAKE NI TAMU KWELI:
mzee anatufanya tucheke msibani. 11
r. I. P mr president jpm
akika tutakukumbuka daima. 6
what are decent man. 5
yaani nimecheka mpaka basi, mpaka hamna miwani wala mkongoja
babu oyeee. ...Expand