Duration 3:19

Mtoto huyu anateseka sana na maradhi ya ajabu

203 watched
0
1
Published 10 Jul 2021

Ester William Mollel ni mama anayeishi na mtoto wa miaka 10 aliyeanza kuugua tangu akiwa na miezi sita. Kulingana na madaktari mtoto Ibrahimu alipata hitilafu ya ubongo wa nyuma wakati akizaliwa. Ester anaishi kwa kutegemea misaada ya watu.Mwandishi wetu wa Arusha Veronica Natalis amemtembelea nyumbani kwake. #kurunzi

Category

Show more

Comments - 1