Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima amekagua mifumo mbalimbali ya utoaji huduma katika katika Hospitali ya Wilaya Ukerewe mkoani Mwanza na kuagiza ukaguzi maalumu kufanyika ili kubaini ukweli wa mambo aliyohisi hayako sawa.
Tovuti @BMG BLOG https://www.bmgblog.co.tz/
Facebook @BMG HABARI https://web.facebook.com/bmghabari
Twitter @bmghabari https://twitter.com/bmghabari
Instagram @bmghabari https://www.instagram.com/bmghabari/
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG