Duration 3:7

Siasa za ripoti ya BBI

4 786 watched
0
21
Published 7 Dec 2019

Wabunge wa eneo la mlima Kenya wanaoegemea mrengo wa naibu rais William Ruto wameonekana kubadili mkondo kuhusu mchakato wa jopokazi la maridhiano(BBI) baada ya hasira na cheche kali walizoelekezewa na rais Uhuru Kenyatta. Wabunge hao sasa wanasema hawana tatizo na mfumo wowote wa utekelezaji wa mapendekezo ya BBI; iwe ni bunge au kura ya maamuzi.

Category

Show more

Comments - 7