karibu kanisa la Shalom shalom christian centre lililopo vijibweni kigamboni jijini dar es salaam kwa huduma ya neno la Mungu, maombi na maombezi .
Pia Mchungaji anakutana na mtu mmoja mmoja siku ya Jumatatu, jumanne na alhamisi kuanzia saa 4:00 asb hadi saa 9:30 jion. watu wa dini zote na makabila yote mnakaribishwa
:- kwa mawasiliano zaidi tupigie au tuma ujumbe kupitia namba zifuatazo:-
0755317456 / 0782628884 / 0713416469 au 0718975077
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for TAZAMA USHUHUDA WATU WAKIOMBEWA , KUFUNGULIWA NA KUPONYWA KANISANI KWA MTUME/MCH. ERICK ASOSISYE.: