Please subscribe now on Our YouTube channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#pachawamondi
@seducerkapero73064 years agoAhahaha unajua mi nimeangalia hii video uku nacheka sababu (1. Huyu jamaa ametumikani vigumu sana kujua tatuu alizocholwa za diamond yeye si mwandani wake(2)ni shida zake ndio zimemfikisha kwakwanini asikatae jiulize pia kwanini asikubari ili hali anashida na pesa na ajavunja sheria, yeye ni yeye na hana mkataba napia kuna faida gani kuwa na mwili kama wa diamond na usiutumie kama diamondkwa hamo na ndio maana nachekahas learned from thesaanyingine umpita mwalimu, hii ni cut&paste amini nakwambia if the table could turn diamond pia angefanya ivi kwa harmonizer na ndio maana amtakiwi kupanic hapa ndipo bongoflevatuone diamond atakuja na nini. Lakini pia i must admit kwamba hii stunt imefanyika kwa utaaramu wa hali ya juu na kusema kweli mimi nimeipenda. Kwa sababu kubwampya atapatazaidi thanks to harmonizer (2)harmo amefikisha ujumbe kamana niseme ujumbe umefika na tumeafikimuhusu dear mond. Iko sawa. ...Expand1
@
@theonecrew49704 years agoMiddle simba upo vizur sana aisee kuhoji big up bruh. 19
@
@tutakusaidiakupatagari88314 years agoMidle simba ni professional, mtu mwenye kitabu chake kichwani utaskia tu aina ya maswali anayouliza. Nakukubali sana bro. Nakuona millardayo mpya na nidham zako pia. 26
@
@boasmbwaga83624 years agoAmenizingua sana uyo mwamba ametuchafulia sana teem mond. 36
@
@dianamushi37934 years agoMiddle nimependa unavyo endesha interview. Vizuriikadhaa hapa. 3
@
@luqash_luqman97444 years agoBila diamond no trending shikamo baba abduly nasib mwanao kibaoo. 18
@
@kakakilipuzi98974 years agoHuku kenya tunamtambua sana diamond platinumz simba ni simba tuu. 4
@
@harbonbwoy63224 years agoLike za middle simba kisha slide kwa youtube channel ake. 32
@
@yohanajaphet36284 years agoYan harmonize ujui tu we ndo mshamba umetukosea sana team mond pole. 4
@
@xmark06094 years agoTeam diamond kutoka mombasa mko ebu kwa lyk. 1
@
@jackdope4 years agoJama hana shida, illa wame mtumiya pasipo kujuwa, yeye ni shabiki wa mondi, alicho fanya harmo si powa. 85
@
@wesleysanja32654 years agoHarmonize has proven diamond is ruling music with higher brain. The rest kama kina harmonize let them fight with small boys. 13
@
@meshackkangwe34144 years agoWe jamaa mshambaaaa kama inavosema hiyo nyimbo sauti ya kishamba huwezi fanana na 3
@
@luhajufilmstanzania4 years agoHarmonize kabug sana. Akumbuke alikotoka. 25
@
@rukumannelson23724 years agoMiddle simba nakubali sana professional huwa nafatilia sana kaz zako upo makini sana kaka natama siku moja nikuone live hapo ndoto yngu itatimia.
@
@petarnjoole78594 years agoKuna kawimbo nakuo utaki kunitajia jina. 8
@
@eddyboycharming24744 years agoNimependa uliposema msanii mkubwa hapa east africa l like that. 3
@
@nevermugisho58514 years agoNikweli kabisa jama. Hana shinda ila sisi uko congo tuna mupenda sana.
@
@alhamdullilla51084 years agoHamufananee ila unaji force mufananeee diamond mzuriii mashaallah.
@
@suleymoo9674 years agoMtangazaji jifunze kuuliza maswali, hebu angalia swali lako la ety, tangu uko mtoto hebu fikiri huyo jamaa tangu yuko mtoto diamond pia alikuwa sio mtu anayefahamika? 13
@
@shafeeshafee86134 years agoMiddle simba nimegundua ww unakauonga flani ivi kakumuoj mtu sijui sababu uoj oji watu ila kaz mzr nakukubal.
@
@bwiseasukulu33914 years agoSio eti alikua ajui akipenda yeye aache ujinga wake. 4
@
@zubemiloneamohamedizahera62314 years agoHarmonize amekosea sana wallah mhmhmhmh ama kweli rafiki wa leo ndio adui wa kesho wallah. 7
@
@alexkazimoto70594 years agoJamaa mwshon kaongea point xna mm nime msamehe. 16
@
@barakaisack12384 years agoYan middle nakubali sana uchambuzi wako na interview zako kila unachokipost huwa nakiamini kwa 100percentage. 6
@
@ivaniavianarodrigo72014 years agoHarmonize, kamrubuni huyu jamaa, naamini wangemtaarifu asinge kubari, harmonize sio mstaarabu kamshuti alafu kwenye kuediti hajamuambia, konde sio mtu mwema, pole mimi sikulaumu pacha mondi! 14
@
@devisekadesh54134 years agoPole xana kwa kutumiwa kuaribu jina la mwingine.
@
@ambrosemillanzi22084 years agoSimba vs konde boy wote ni artist from east africa sir. God bariki kazi zao.
@
@princemwaifunga81514 years agoHuyu jamaa tunamfungulia kesi anatumia jina la mtukulipa title. 2
@
@bernardchibwana94114 years agoHarmonise mshamba sana! Na wimbo kajiimbia mwenyewe mshamba.
@
@user-xi1pi4zr3b4 years agoHuyu jamaa hana ubaya wwte pande zote mbili, njaa ndio ilimpelekea kufanya ile kaz ya harmo lakn rizki popote yuko sawa. 19
@
@ezapesambili21304 years agoHivi lini middle simba atangizwa kwenye category za mtangazaj bora tummwagie vote za kutosha? 2
@
@salmakhasim18274 years agoSawa kaka umeongea tumekuerewa uyo mmakonde yeye atacherewa kutaka kiki kupitia mondi bado mondi ni babalao a take asitake afanye mziki bira kumtupia vijembe mondi a one kama a tapata jam lawatu tena unapotea. 3
@
@ashura.burundixhxhx704 years agoPole sana kak ila harmonaizi ajuwe kama simba na bab lao.
@
@dyanamotz4 years agoHuyu jamaa muongo mpaka bc maelezo yake ya interview yakwanza na zingine tofauti kabisa. 8
@
@tryson42924 years agoKukuokolea time,main point imeanza kuongelewa dakika ya 1
@
@osmanmohammedosman54934 years agoSema mwamba haelewi maswali na kujibu ni shida! 32
@
@nellynguzo55034 years agoHarmonize amezingua xn, nadhan anatafuta kiki video iende. 4
@
@muanashaswaleh51104 years agoYani walimficha alafu hamonaiz hakujitokeza akajulikana hiyo nimipango walipanga timu nzima walimpeka kinyume. 4
@
@xtarkidz59234 years agoJamani ni navyojuwa huu ni mpango wa harmo ili ngoma yake iongelewe izidi kutrending. 1
@
@khamishussein35024 years agoYani uyu kajialibia hatokutana na mondi miaka miwili mbele. 20
@
@hamisichuma69824 years agoPunguzeni mapovu wadau simba mwenyewe ajapaniki wewe unafoka we kama nani uwo niushamba wadau. 7
@
@eviepretty26464 years agoDaah! Et tutajie jina unalotumia kutafutia ugali middle bana. 2
@
@hidayaabubakary82504 years agoShukuru mungu umeoshanyota wewe boya ungeonekana sangp umeuza sura sana embu tuachie konde boy wetu ushakula pesa wewe tulia tu.
@
@ashirievara85424 years agoAmakweli kuishiwa kubaya san yani uyo sas hiv anaimba 1
@
@idid81554 years agoMsimlaumu jamani anatafuta zake jisi yakupata ugali. 1
@
@danvasco44304 years agoRiziki mafungu saba, boy atafuta unga tu basi, +254 kenya. 1
@
@yothamshoppingcenter99454 years agoYani we mimi nita kutafta nita kulipa unyowe kila kitu mjinga sana we. 1
@
@amisindondi45494 years agoKwani ww middle simba si mulimchokoza wenyewe harmonize wcb mulisema kampeni zimeisha mtapata wapi hela yaamewajibu isiwaume. 4
@
@tonyshineafrica82784 years agoAnajiitwa ndo nn kama umesikia hvo like twende sawa.
@
@zou74704 years agoUyu kaka alitaka kiki mana anaongea mambo mengi tafauti mim nimeangalie sehemu apa kwa middle simba ni sehemu ya tatu so anaco kiongea uko nitafauti nalico kiongea apo so sijuwu tuamini ukwel upi apo. 6
@
@mohamedyally5704 years agoMaskini pacha daah wamemshambisha kizembe. 3
@
@Agnes-qq4np4 years agoUyo jama amesha jiaribia sasa afazali angebaki upande moja kwa mondi hatofanikiwa kukutana nae kwa harmonize kajiaribia tena. 1
@
@stanslauselias90024 years agoUmepotea mwana tayali tulikuwa tunakukubali ila kwa sasa umekunya mwenyewe ulilolitafuta utalipata labda ulidi kigoma ila umesha haribu tayali. 1
@
@BongoPlatformTv4 years agoYani huyo hakujua pia yy karekodiiwa tu kipande hapo hajaambiwa kama ni ishu ya hamonize. Dah mildesimba yaani kwenye interview ya leo ni kali cjawahi kukubali ila leo big up sana.
@
@josephvenus32594 years agoKaka wala usijari, Hamoniz analo litafuta atalipata tu. Huwezi kumdisi na kumdharirisha mtu aliye kutoa matopeni na kukufanya uwe nadhifu tena wakuheshimiwa hata na jamii nzima. Dah! Ule usemi wa mfadhiri mbuzi. binadamu. hapo ndipo unaujua maana yake. Namwomba sana Daimond asijibu kitu. .....Expand5
@
@abdybenyedah16524 years agoJamaa nimemkubali mwisho. yaan ameongea point katk mazungumzo yote toka mwanzo.
@
@maryamzaydowino58984 years agoKumbe diamond ni mhandsome, see your twin then no how physically well you are. 1
Related videos for Sikujua HARMONIZE atafanya vile,sijapenda,alinitumia meseji,namkubali DIAMOND Pacha wa DIAMOND:
yaan ameongea point katk mazungumzo yote toka mwanzo.