Duration 5:28

SIMU YA KIFO

54 701 watched
0
48
Published 13 Sep 2010

Pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuwatoa wasiwasi Watanzania juu ya uvumi ulionea nchini kuwa namba za simu zikipokelewa huleta madhara na hata kifo kwa mpokeaji, bado uvumi huo unaendelea na katika mahojiano haya, gazeti la Uwazi limeongea na Bi. Sophia Juma ambaye amedai kupatwa na matatizo ya kuishiwa nguvu na mkono kufa ganzi mara baada ya kupiga namba ya simu asiyoijua...msikilize mwenyewe!!

Category

Show more

Tags

Comments - 15